Tuesday 3 February 2015

MAALUM KWA WAKUBWA TU!!.. JINSI YA KUSAFISHA UKE


 
Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke mara tu baada ya kuondolewa bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi?

Baadhi huofia kuwashwa na sabuni na wengine hudhani utokwaji wa utoko ni kawaida hivyo hawana budi kuacha kama ilivyo na badala yake hutumia “pads” ndogo au “wipes” zenye manukato ili kuzuia harufu/shombo ya uke na vilevile kuzuia uchafukwaji wa “vyupi” vyao.

Huitaji kuficha(Bali punguza) harufu ya asilia ya uke kwa kutumia bidhaa zenye mahukato hasa ukiwa na mpenzi wako kwani hiyo harufu ndio uanamke wenyewe na ikikutana na ile ya kiume ndio raha ya kufanya mapenzi na ikiwa mpenzi wako ni“aliyejaaliwa” atakuwa akiipenda harufu hiyo na hubaki akilini mwake hali inayoweza kumfanya akupende zaidi au kutoweza kufanya ngono na mtu mwingine bali wewe.

Hujawahi kusikia wanaume wanashindwa kutoka (date) wanawake wengine baada ya wapenzi wao kufariki dunia? Au mwanaume kushindwa kuendelea na maisha yake ya kimapenzi bila wewe na matokeo yake hata mkiachana lazima atarudi tu kwako….sababu moja wapo ni hiyo.

Kujiswafi ili kupunguza ukali wa shombo/harufu ya uanamke:
Utoko hujikusanya ikiwa mwili umetulia (usiku) hivyo hakikisha unajisafisha kila asubuhi kabla hujaanza kuoga.
Kwa wale tunaoishi Bongo wengi tunatumia maji ambayo usalama wake ni wa utata, sasa ili kuepuka maambukizo hakikisha maji ya kujisafishia sehemu zako za siri yamechemshwa vizuri. Unaweza kutenganisha maji ya kuoga na ya kusafishia uke ukitaka.

*Kabla hujaguza uke wako hakikisha umesafisha mikono yako vizuri kwa sabuni (ukiweza tumia sabuni yenye dawa) na wakati huo huo pitisha sabuni juu ya uke wako ili kuondoa vijidudu kama vilikuwepo, safisha mahali hapo(juu ya uke kwa maji na hakikisha hakuna sabuni).

*Kisha kwa kutumia kidole chako cha kati, ingiza taratibu pale ambapo uume unaingia, kwa kuanzia huitaji kwenda mbali sana. Zunguusa kidole hicho taratibu huku ukijimwagia maji kwa kutumia mkono wa pili, kisha kitoe (kitatoka na weupe mzito) safisha kidole na maji yako.

*Rudia tena na sasa kiingize ndani zaidi na ukizunguushe tena (huku ukijimwagia maji) na kukitoa utaona “utoko” mwingi zaidi kidoleni, rudia hatua hizo mpaka uhakikishe kidole kinatoka bila weupe(utoko) na utahisi hali ya usafi, hakuna utelezi.

Unapojimwagia maji ukeni huku kidole kiko ndani maji huingia pia ukeni na ndio maana mwishoni kabisa utahisi umesafishika vema kabisa na utoko huo hautotoka tena siku nzima na uke wako hautokuwa na shombo kali kama ambavyo siku zote ambazo ulikuwa hujisafishi.

Kwa wale wanaotumia “bath” au “shower” unafanya kama nilivyoeleza ila tofauti ni kuwa maji yataingia vizuri zaidi ikiwa unapata “bath” hivyo hakikisha “bath” sio ya kuchangia, maji ni salama(safi), usiweke sabuni (bath cream) au bidhaa yoyote yenye kemikali kwenye “bath” yako ili kuepuka matatizo ya kiafya na maambukizo mengine.
+

STORI YA KABINTI KAMOJA


Nilisoma naye chuo kimoja ( jina kapuni ), rafiki yangu alimpenda sana huyu msichana, but she was pretending to be in love with another man ( ambaye kwa mujibu wa taarifa za uhakika kutoka kwa watu wa karibu na huyu binti, walisha mwagana tangu enzi za pontio wa pilato and its like he was not existing ). Jamaa kwa kuwa alikuwa anamfeel huyu binti alienda naye hivyo hivyo kama mshika mapembe hadi tukamaliza chuo mwaka 2008. Binti alikuwa anampeleka sana jamaa, madesa yote yalikuwa ni wajibu wa jamaa, achilia mbali ishu za kumfanyia takehome tests and all that...Tumemaliza chuo, binti yupo mjini na jamaa yupo mjini but msimamo wa binti ulikuwa vilevile kwamba ana mtu wake toka zamani na wana mipango ya kufunga ndoa, jamaa kapiga sana simu katuma sana meseji hadi akachoka. Mwaka huo huo (2008) jamaa akapata FULLBRIGHT SCHOLARSHIP, akiwa marekani akatokea kupendana na dada mmoja chotara wa kizungu, wamefunga ndoa na sasa hivi wana mtoto mmoja. Kwa sasa jamaa ana fanya PHD kwenye chuo kimoja marekani ambako anaishi na familia yake...Mwezi uliopita alikuja kutembea home na kumtambulisha mke wake. He is no longer talking about that gal. Sasa kinacho nifanya nimshangae huyu binti, she is now blaming on us, anasema sisi ndo tumemshauri jamaa aachane naye, mara ooh jamaa alikuwa na maana gani kumtaka yeye kimapenzi halafu anakuja kuoa mwanamke mwingine!! I told her i dont have anything to do with that plus nikamuuliza kuhusu the so called mchumba wake na hakuwa na majibu yenye kueleweka but mwisho wa siku amejutia sana mambo yote aliyo mfanyia jamaa, alijaribu kumuomba msamaha, jamaa kamwambia yeye hana tatizo nae ila kuhusu uhusiano ndo hivyo tena,yeye tayari ni mume wa mtu. Anafikisha miaka 30 mwaka huu, hana mchumba wala bf, anauza dawa za GNLD ( U CAN SEE HOW DESPERATE SHE IS ). ....
KWENU MABINTI: Zile zama za SITAKI NATAKA , zimekwisha pitwa na wakati, do not pretend to be in love with someone else wakati unajua kabisa katika nafsi yako kwamba upo singo na unahitaji mwanaume..Kumbania mwanaume kwa muda mrefu hakuwezi kuongeza thamani yako hata kidogo
+