Kama ilivyo kwenye kufika kilele sio
wanawake wote wamejaaliwa kufikia Mshindo hali kadhalika sio wanawake
wote wanaofika kileleni na kumwaga kama bomba. Sasa kama unataka kujua
kama na wewe unauwezo wa kukojoa kwa kusikia utamu wa ngono na kumwaga
ka' bomba mumeo atahitaji kufanya kazi ya ziada kufanikisha hilo.
Kuhisi kutaka kukojoa-Sehemu kubwa ya wachangiaji wamefananisha au
kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka
kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke
ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi
kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani) ndio
kufika kileleni kwenyewe lakini siooo.
Baadhi ya wanwake huwa
wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo
ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa
kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo
likiendelea kwamuda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachi
makojo (kwa kawaida).....hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika
kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu)
kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani
unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi
uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama
unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.....
Kama umewahi kuchezewa kisimi kwa ulimi na mumeo au hata kujichua
kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu
unazaozipata pale kisimini ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa
ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu wa
kisimini.
Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi
kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via kisimi ndio utaelewa
jinsi ulivyo.....kuhisi kutaka kukojoa na hatimae kuachia mkojo sio
kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo wanawake wasingehitaji
wanaume wa kuwatia na badala yake wangekuwa wakinywa maji mengi ili
kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.
Unajua wakati
mwingine ngono ya kuingiliana (uume ndani ya uke) huwa ina-irritates
the bladder(kifuko cha mkojo) na kukufanya wewe uhisi kutaka kukojoa
kila unapofanya ngono nitakushauri ukamuona"Gynecologist" ili
kuhakikisha kuwa huna tatizo la kitibabu ambalo linaweza kabisa kuwa
Saratani au inawezekana una tatizo linaitwa Orgasmic dysfunction kwamba
hujawahi kupata Kilele kwa namna yeyote ile (kama nilivyosema awali)
hivyo basi upata hisia za kutaka kukojoa na unaweza kufurahia hisia hizo
ukidhani ndio unafika kileleni lakini sio kilele bali kibofu chako
kimejaa au kimesumbuliwa na kusababisha hisia hizo.
Kwa wanaume
huenda wakawa wanahisi kukojoa kama wanavyokojoa mkojo wa kawaida kwani
inasemekana (nitahakiki hili) kuwa manii/shahawa zinapita kwenye mrija
ule ule ambao mkojo wa kawaida unapita hivyo kwao kuhisi kukojoa kama
kukojoa as ku-empty kifuko cha mkojo haina maana na wanawake wako hivyo,
kwani kitundu cha mkojo kiko kwa nje katikati ya uke na kisimi(chini ya
kisimi).
Hii huwafanya wanaume wengi kudhania kuwa hisia za
utamu wa kilele ni kama kutaka kukojoa lakini ukweli (kutokana na
uzoefu) ni kuwa utamu wa kutombwa hauelezeki na haufananishiki na kitu
chochote sio asali wala sukari.....ila utaelewa kama unajua utamu wa
kisimu alafu ongeza mara 3.....au utamu wa kunyonywa kichwa cha uume kwa
ustadi sasa utamu huo uwe mara 5 ndio utamu wa kilele cha G-spot!
Unaweza kuzimia..
+