Thursday 5 March 2015

Njia za kupunguza au kutibu tatizo la kutofika kileleni kwa mwanamke

Njia za kupunguza au kutibu tatizo la kutofika kileleni kwa mwanamke
Kujiruhusu mwenyewe kupenda tendo la ndoa
na zaidi kupenda kufika kileleni kwa hamu
kubwa.
Kuwa responsible kwa mambo yote yanayohusu
ufanisi wa tendo la ndoa.
Kujipa elimu na maarifa kuhusu elimu ya
mapenzi kwa mwanaume na mwanamke, viungo
vinavyohusika na kila kitu kinachiweza kukupa
tofauti katika ufanisi uimarishaji wa tendo la
ndoa kama unavyosoma hapa sasa hivi.
Kuwa na mawasiliano wakati wa tendo la ndoa
hasa kuhusiana na maeneo yote ambayo
unasisimka pale ukiguswa au kuchezewa.
Kufanyia kazi kila tatizo lolote la kisaikolojia na
kupata solution kabla ya tendo la ndoa.
+

INAKUHUSU MWANAUME!! UKIFANYIWA KITU MBAYA USILALAMIKE


Ulimuona binti ukampenda ama ukamtamani mie sijui, ukamfuata na kumtongoza lakin akakukataa kwa vile alikuwa hajui kama unampenda kweli, lakini kutokana na umahili wako wa ulaghai ukamdanganya weee mpaka akakubali.
Alipokubali tu ukataka umlale, lakini kwa vile alikuwa hajawahi kufanya Mapenzi (bikra) akagoma, ukaamua kutumia PHD yako ya ufuska ukafanikiwa kumvua chupi na kumaliza haja yako. wakati huo mtoto wa watu alikuwa na chuchu saa sita.
Haukuishia hapo ukataka tena na tena na tenaa, mpaka ukampatia mimba, lakini alipokueleza nina mimba yako naomba unioe. ukamjibu bado hujajipanga kuoa na ukamshauri mkaitoe, kwa kuwa binti aliwahi kusikia kuwa ukitoa mimba waweza kufa akagoma. hapo ndipo ukatumia ujuzi wako woote wa umalaya kumdanganya mpaka akakubali, makatoa mimba kwa bahati mbaya shuleni wakagundua akafukuzwa shule, wazazi wake wakahuzunika sana lakini wakashindwa wafanye nini.
Ulipoona wazazi wametulia, ukamfuata tena na kudai muendelee na Mapenzi kwa vile alikuwa anakupenda kweli, akakubali na Mapenzi yakaendelea. katika Mapenzi yenu sasa ukampachika mimba ya Pili mkatoa ya Tatu pia mkatoa na hatimaye mimba ya nne.
Binti akawa ameanza kuchoka, sura inakuwa ya kizee na maziwa yake yamelala kama sox za mgambo kwenye kamba, umbo lake la namba 8 halipo tena. wewe mambo yako yamekunyokeea sasa unataka kuoa mwanamke nwingine na kusema huyo demu wako siyo wife Material. UNAFIKRI HUYU BINTI ATAKUFANYAJE? TUBADILIKE WANAUME!
+

Kumaliza haraka

Kumaliza haraka!
Baada ya kupeana mabusu na romance hadi kila mmoja anakuwa amesisimka kiasi cha kuwa tayari kwa kurushwa hadi kufika kileleni, ghafla baada ya msuguano mmoja tu mwanaume ameshamaliza na tayari hoi anageuka na kulala zake usingizi mzito wakati huohuo bibie bado kwanza ndo alianza kupata raha na sasa ameachwa kwenye mataa anazubaa akiugulia kukosa raha yenyewe.
Jambo la kuhuzunisha ni kwamba baadhi ya wanaume huweza kufika kileleni haraka mno; dakika chache tu baada ya kuingiza uume kwenye uke, ingawa hii humpa mwanaume raha ya ajabu hata hivyo anaweza kumwacha mke wake katika kukatishwa tamaa na kutoridhika hasa kama ni mwanamke ambaye kufika kwake kileleni hutegemea msuguano (thrusting) wa uume kwenye uke wake.
Kawaida mwanaume huweza kuwa tayari kufika kileleni kila baada ya mipigo 50 (kuingiza na kutoka ndani ya uke) [thrusting] na wakati huohuo inachukua zaidi ya dakika 10 kwa mwanamke kufikia kileleni (siyo wanawake wote wengine huwahi).
Mwanaume anapokuwa hana uwezo wa kujizuia kukojoa (ejaculate) mapema huweza kukosa kiwango cha raha ya kutosha anayostahili yeye mwenyewe na mke wake pia, vilevile hukosa raha halisi ya kuwa ndani ya mke wake kwa muda mrefu (mwili mmoja) na hapati zile hisia za ukaribu (intimacy), mapenzi na muunganiko ambao huweza kuwaunganisha wawili wapendanao kupitia tendo takatifu la ndoa ambalo Mungu alilifanyia ubunifu kwa ajili ya mwanaume na mwanamke duniani kuwa pamoja na kufurahia uumbaji wake.
Wanawake wengi huhitaji mume kukaa ndani ya uke kwa muda mrefu unaotosha kwa kadri wanavyohitaji raha na utamu wa hii zawadi ya mwili.
Na njia sahihi ya kuweza kufanikisha hili ni pale tu mwanaume anapokuwa na uwezo wa kuhimili kutokojoa mapema na kuwa na uwezo wa kuwa na hiari wakati gani aweze kukojoa au kutokukojoa.
Fikiria raha inayopatikana kwa mwanaume ambaye anaweza kumhakikishia mpenzi wake anapata raha kwa muda anaoutaka maana tendo la ndoa ni haki yake ya msingi ya kuzaliwa.
Kwa kujifunza unaweza kuwa na uwezo wa kufika muda mrefu vyovyote unataka na kukupa ridhiko la kimapenzi wewe pamoja na mpenzi wako.
Mwanaume anapokuwa kwenye mahaba asipokuwa makini huweza kufika mahali mambo yakawa matamu kiasi kwamba hakuna kurudi nyuma (no point of return) kwa maana kwamba lazima mwanaume akojoe, hana chaguo bali kumaliza hata hivyo kumbuka mke wako ni muhimu pia na mwitikio wa mapenzi kati yako na yeye ni tofauti, ili kumtanguliza yeye unahitaji kufanya kitu nacho ni kuthibiti kutowahi kujokoa kabla yeye hajaridhika.
Habari njema ni kwamba mwanaume yeyote pamoja na wewe unayesoma unaweza kuwajifunza na kuwa mwanaume anayeweza kufika kileleni wakati anaotaka yeye.
Naamini ni ndoto ya kila mwanaume kuwa mzuri katika mapenzi na kuhakikisha mke wake mpenzi anapata kile anastahili wakiwa faragha na zaidi kuweza kumfikisha mwanamke katika kiwango cha juu kabisa cha raha ya mapenzi ambayo ni ndoto ya binadamu yeyote duniani ambaye ana hisia kamili za kimapenzi.
Je, nini kifanyike kuweza kuthibiti kumaliza mapema?
+

Bikira 1

Mabinti wa kizulu huko Lamontville Afrika kusini wakisubiri kukaguliwa kama bado ni mabikira huku nyuso zikiwa zimepakwa udongo.
(Picha kwa hisani ya Ellen Emendorp wa NYT)
Kutokana na desturi za huko Sri Lanka bibi harusi ni lazima athibitishe kwamba ni bikira usiku wa harusi yake.
Kila bibi harusi hutakiwa kubeba kitambaa cheupe ambacho huwekwa chini wakati wa tendo la ndoa kwa mara ya kwanza usiku wa kwanza kwa maharusi ili kuthibitisha kwamba bibi harusi alikuwa bikira.
Kitamba kuwa na damu ni certificate kwamba bibi harusi alikuwa bikira.
Na wapo mabibi harusi hukutana na wakati mgumu baada ya kujikuta hawakutoa damu yoyote ingawa ni kweli wao ni mabikira.
Hii ni kwa sababu wasri Lanka kama jamii zingine duniani bado wanaamini bikira yeyote hutoa damu siku ya kwanza na Yule ambaye hakutoa damu huonekana alijihusisha na ngono kabla.
Hiki ni kipimo cha kitambaa kuwa na damu ni kipimo potofu kwani na unscientific, wanawake wengi innocent huumizwa na kuonekana hawana quality ya kuitwa bikira wakati ni bikira.
Ni vizuri watu kujua uhusiano uliopo kati ya kizinda (hymen) na ubikira (virginity)
Bikira ni nani?
Bikira ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi (penetrative sex) na si lazima awe mwanamke ambaye atatoa damu siku ya kwanza ya tendo la ndoa.
Ni vizuri kufahamu kwamba asilimia 20% - 25% ya mabikira huwa hawatoi damu yoyote kutokana na muundo wa kizinda (hymen)
Wakati mwingine kizinda huondolewa kwa kufanya mazoezi mazito, kupanda baiskeli, kukwea miti na ifahamike kwamba kufanya mazoezi hakuwezi kuondoa ubikira.
Kizinda ni nini?
Kizinda ni ngozi nyembamba sana (membrane) ambayo huziba entrance kwenye uke.
Ina matundu ambayo hutofautiana kwa size ambapo damu ya mwezi kwa mwanamke huweza kupita kila mwezi.
Kuna aina Nne za vizinda
1. Kizinda cha kawaida (normal hymen),
2. Kizinda kisicho na tundu lolote [huhitaji surgery wakati mwingine] (Imperforated hymen),
3. Kizinda chenye tundu dogo sana (Microperforated hymen)
4. Kizinda chenye tishu za ziada na kufanya matundu mawili (septate Hymen)
Bado haijajulikana kazi ya kizinda ni nini, kwani baada ya sex mara ya kwanza huchanika na kuachana na kubaki historia.
Kizinda kiligunduliwa mwaka 1544 na Daktari wa kiarabu Ibn Sinna hata hivyo kufika karne ya 16 watu walikuwa wana imani potofu kwamba kizinda ni ugonjwa na dawa yake ilikuwa ni sex inayofuatana na mwanamke kuolewa.
Kutokuwa na kizinda au kutokutoa damu siku ya kwanza ya sex si evidence kwamba mwanamke si bikira wapo wanazaliwa hawana wengine nyembamba sana na wengine huweza kutoka kutokana na aina ya mazoezi au accidentally.
Damu ambayo hutoka siku ya kwanza ya sex ni kidogo sana linaweza kuwa tone hakuna mwanamke amewahi kutoa damu na kulazwa au kuhatarisha maisha yake kwa sex mara ya kwanza.
Pia ifahamike kwamba mwanamke huweza kujisikia maumivu kidogo au discomfort wakati wa tendo la ndoa.
Hata hivyo maumivu mengi huhusiana na woga na ignorance (knoweledge is power), wakati mwanamke anakuwa na hofu, woga wakati wa tendo la ndoa misuli ya uke hukaza na uke huwa tight na mwembamba na wakati mwingine hushindwa kutoa lubricants kwenye uke kutokana kuwa na hofu na matokeo yake ni kusikia maumivu wakati wa penetration.
Pia inawezekana mwanaume hakumuandaa vya kutosha na pia inawezekana wakati wa kumuandaa mwanamke mwenyewe hakuwa relaxed na kuwa tayari kupokea tendo zuri la sex akihofia kuumizwa.
Je, mwanamke kutunza bikira hadi wakati wa kuolewa kuna heshima au fahari yoyote?
Kwa nini suala la kuwa bikira kwa wanaume katika jamii zote linakuwa halina uzito bali wanawake tu?
Je, wakati wa kuoa au kuolewa karne hii ya 21 suala la bikira ni muhimu kuzingatiwa?
Tutaendelea…………………………..
+

Bikira 2

Eti unaweza kumjua mwanamke bikira kwa kumwangalia jinsi anavyotembea! Kutokana na maandiko ya agano la Kale (Biblia) (Kumbukumbu la torati 22:13 17)
Wanaume wa kiisraeli walikuwa wanatahiriwa (circumcision) na hiki kitendo cha kutahiriwa au kukata govi (foreskin) kilikuwa ni agano (covenant) na Mungu wao, agano la damu kwa maana kwamba ubikira wa mwanaume ulitolewa kwa Mungu.
Hii ilikuwa na maana kwamba mwanaume sasa alikuwa ni mali ya Mungu (belong to God).
Kwa kutahiriwa damu ilitoka na damu kutoka ni kuonesha kutoa bikira na yeye kuwa na mahusiano na Mungu.
Mwanaume aliunganishwa na Mungu ambaye sasa anakuwa chanzo cha uwezo wake.
Agano la mwanaume na Mungu lilihitaji damu kutoka katika govi la uume na si katika sehemu nyingine ya mwili wa mwanamke kwa sababu uume ndiyo ulitumika pia kwa kuvunja kizinda (hymen) mwanamke kutoka damu kwa ajili ya agano kati ya mwanaume na mwanamke mbele za Mungu kuwa kitu kimoja.
Hii ina maana kwamba kwa mwanamke bikira kutoa damu ni muhuri wa agano kati ya mwanaume na mwamke mbele za Mungu.
Je, katika agano jipya bado tunahitaji damu ya binadamu kwa ajili ya agano?
Baada ya Yesu Kristo kuja yeye alitoa damu ya thamani msalabani ambao hutuunganisha wanadamu wote na Mungu.
Mwanaume na mwanamke wote wanaunganishwa na damu ya Kristo na wao kwa pamoja wanakuwa bikira (bibi harusi mtarajiwa) hadi siku Yesu akija kulichukua kanisa na kila mmoja ambaye atakutwa hana bikira maana ataachwa.
(Kama umeokoka utanielewa nazungumzia kitu gani)
Hivyo basi suala la msingi hapa si mwanamke kuwa bikira na kutoa damu ya agano kwa mume au mume kutahiriwa kutoa damu ya agano kwa Mungu bali kuikubali damu ya agano jipya ambayo ni Yesu Kristo.
Kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi ndiyo ubikira wa kweli
Je, inawezekana mwanamke bikira kuwa na mimba?
Ndiyo inawezekana, ikitokea sperms zinkawa deposited nje ya uke hata kama hakukuwa na penetrative sex kwani sperm ni genius au smart sana zikipata mwanya hasa kutokana na kufunguka kwa vitundu kwenye kizinda (hymen)
Je, ukiwa Bikira muda mrefu unaweza usizae watoto?
Uwongo mtu hasa kama mwanaume bado ana uwezo wa kuzalisha sperms na kama mwanamke bado anapata siku zake.
Je, unaweza kujua bikira kutokana na anavyotembea?
Thubuti! Hakuna external signal ambayo huweza kukufahamisha kama kweli mwanamke ni bikira au mwanaume ni bikira ukweli anajua yeye.
Je, Ukisubiri sex hadi uolewe au uoe ni mshamba kama si msenge?
Ukweli ni kwamba wewe ni smart sana kuliko wajinga wote wanaojiingiza kwenye masula ya sex kabla ya ndoa, Wazinzi na waasherati hawana nafasi katika ufalme wa Mungu.
Pia kusubiri kunakufanya uishi kwa amani na kutimiza malengo ya maisha bila hofu ya UKIMWI.
Je, Ukiwa in love na mtu lazima mfanye mapenzi?
Kuwa na mpenzi haina maana sex lazima, Pia inatokana na mipaka mliyowekeana.
Je, kwa mwanamke kudumisha urafiki na mwanaume sex ni muhimu?
Ukweli unajidanganya, kama urafiki wako ok shaky kiasi hicho kumbuka sex si tiketi ya kukufanya akupende zaidi bali tiketi ya kukupiga chini muda wowote na yeye kubeba kitu kipya kabisa.
Kama huamini nitumie email nitakupa mifano zaidi ya 100.
+

Ajisikia vizuri kwanza!

Kuna tofauti kubwa sana ya maana na mwitikio wa mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke.
Wanaume kawaida wanauwezo wa kutenganisha mwili na moyo
(Body and Heart)
Kwa upande wa wanawake tunaweza kusema wao wamekomaa kimapenzi kuliko wanaume kwa sababu kwao kutenganisha mwili na moyo inakuwa vigumu na wakati mwingine haiwezekani.
Mwanamke anapompenda mwanaume huanza na hisia za ndani za moyo wake then hisia za nje za mwili wake;
wakati mwanaume anapompenda mwanamke huanza kupenda kuanzia hisia za nje za mwilini mwake then hisia za ndani za moyo wake.
Ni rahisi mwanaume kukwambia anakupenda kumbe hakupendi bali anakutamani tu na wanawake wamekuwa wanaumizwa sana na wanaume kutokana na hii style yao ya kupenda kwa kumuweka mtu moja kwa moja kwenye moyo wake.
Utafiti mwingi unaonesha kwamba wanawake wengi huwa hawafurahii kufanya mapenzi na mwanaume asiyempenda;
wakati wanaume wanaweza kufurahia na kupata raha ya mapenzi (kufika kileleni) hata kwa mwanamke asiyempenda.
Ndiyo maana mwanaume anaweza kutembea na mwanamke yeyote hata kama ni mbaya kila idara ukilinganisha na mke wake.
Ndiyo maana matukio mengi ya ubakaji hufanywa na wanaume.
Ndiyo maana nyumba ndogo nyingi (wanawake) si wazuri kama nyumba kubwa (wake zao halisi)
Wanaume wanaweza kutenganisha upendo na kufanya mapenzi (love and sex).
Wanawake hutazama kufanya sex ni kitendo cha ziada baada ya upendo wa kweli na wakati mwingine hufanya mapenzi ili kuimarisha mapenzi kwa mwanaume, wakati wanaume sex ni kwa ajili ya kufurahia tu siyo lazima awe anampenda mwanamke anataka kufanya naye sex.
Kwa mwanaume kufanya sex ni kitu kinachofanywa nje ya mwili (out-of-body experience) kwa sababu viungo vyake vya kufanyia vya sex vipo nje na anapofanya mapenzi anakuwa anafanya kitu kwa mtu mwingine (mwanamke) kama vile kupigilia msumari kwenye ukuta;
Kwa upande wa wanawake viungo vya sex vipo ndani ya mwili na kwao kufanya mapenzi ni kama kumkaribisha mtu ndani ya nafasi ya ndani yake, hivyo inakuwa ngumu kutenganisha mwili, moyo na hisia zake.
Kama ilivyo kwa watu wote kwamba mtu mgeni akiingia nyumbani kwako hutajisikia raha kwanza au hutajisikia salama hadi ufahamiane naye, ndivyo wanawake walivyo.Kwa mwanamke kufanya mapenzi na mwanaume asiyemfahamu au mgeni au asiyempenda ni sawa na mtu anayeingilia mipaka ya shamba lake, (trespacing)
Kumvamia mwanamke bila kuonesha upendo wa kweli ni sawa na kuvamia mipaka ya mashamba ya watu, au ni sawa na kuingia kwenye nyumba za watu bila kukaribishwa.
Wanawake hupenda kuwa na ukaribu na upendo wa kweli ili kumruhusu mwanaume kuwa naye kitandani na kuingia kwenye nafasi yake ya siri kufanya mapenzi.Ndiyo maana huwa wanajisikia kutumiwa na kuumizwa na mwanaume ambaye haoneshi upendo wa kweli.
Wanahitaji mwanaume anayewasililiza, anayewapenda, anayewajali, anayekuwa tayari wakati wanamuhitaji, mwanaume anayebembeleza, mwanaume ambaye anajua kuwahudumia wao kama viumbe rasmi na maalumu ambao Mungu ametoa zawadi kwa wanaume duniani.
Hii ndiyo sababu mwanamke hupenda kujisikia vizuri kwanza ili afanye mapenzi wakati mwanaume hujisikia vizuri baada ya kufanya mapenzi.
+

Je, Upoje Kitandan

Nazima Tv, halafu nakwambia kitu!! Picha kwa hisani ya inmagine
Je unadhani wewe ni mwanaume mzuri kitandani? Hapa kuna maswali kwa ajili yako.
Je ni mara nyingi mke wako huwa anakuhitaji kwa ajili ya tendo la ndoa?
Je, kila unapofanya mapenzi yeye hufika kileleni? Je unauhakika jinsi ulivyo mzuri kitandani
Basi jibu maswali yafuatayo kwa uangalifu na uhakika bila kudanganya na angalia mapendekezo ya majibu ambayo yapo kila baada ya swali.
Kama ni mwanamke basi unaweza kumuonesha mume wako haya maswali ili ajibu ajipime yupo wapi katika kukuhakikishia unapata raha inayotakiwa kitandani siku zote.
Je, ni mara ngapi huwa unajisifu sana kwamba wewe ni mzuri kitandani?
(a) Kamwe sijisifu
(b) Mara chache
(c) Kila wakati
Watu ambao hujisifu kwamba ni wazuri kitandani mara nyingi hawajiamini. Suala la tendo la ndoa ni maada sensitive sana kwa wanaume, hivyo kujisifu inawezekana ni kujaribu kufunika ukweli.
Je, nini mtazamo wako kuhusu usafi?
(a) Nipo kawaida, naoga, najinyoa ndevu na kutumia vipodozi vya wanaume na kuvaa nguo safi
(b) Kuna siku siogi, pia naweza kuvaa nguo moja hata mara mbili
(c) Nipo makini mno, naosha mikono kila wakati na sipendi kabisa kugusana na mtu mwingine asije nichafua
Kuwa msafi siku zote ni kitu kizuri sana. Wanawake wapo sensitive sana na kile wananusa kuliko wanaume.
Hii ina maana kwamba harufu mbaya huweza kumuathiri mwanamke kuliko mwanaume. Ni muhimu kuoga kila mara na kuvaa nguo safi, ingawa kuwa msafi kupitiliza kunaweza kuzima hamu ya mapenzi kwa mpenzi wako kwani huwezi kubusu kila sehemu kwa kuogopa kuchafuka.
Je, mwonekano wako upoje? Umepinda au umenyoka?
(a) Imara na mara zote mgongo umenyooka
(b) Imara sana labda niwe nimechoka basi mgongo huinama
(c) Kila wakati natembea nimeinama na kupinda mgongo
Mwonekano (posture) ovyo siku zote unahusiana na Uvivu. Na kama ni mvivu maana yake wewe si mzuri kitandani pia.
Wanaume wenye posture nzuri siku zote huwa wanasimama wima na mabega yakiwa sawa bila kuinama na pia ni wanaume ambao hupenda ku-improve vitu vingi katika maisha mojawapo ni suala la kitandani. Wanaume wenye mwonekano (posture) nzuri ni wazuri kitandani pia.
Je, ni mara ngapi unaongea na mikono
(a) Sifanyi kabisa
(b) Nafanya kila ninapoongea
(c) Mara moja au mbili kila ninapoongea
Wanaume wanaongea huku mikono nayo ikisaidia mara nyingi ni wabunifu na wafikiriaji wazuri. Hujitahidi sana kuhakikisha wanapofanya mapenzi kunakuwa na matokeo mazuri. Kama una mwanaume wa jinsi hii basi utafurahia kitandani maisha yako yote hadi uzeeni.
Je, wewe ni mbunifu kiasi gani kitandani?
(a) Nafanya kwa utaratibu uleule kila siku miaka Nenda miaka rudi
(b) Ninafanya tofauti kidogo angalau baada ya muda
( c) Najitahidi kuwa na kitu kipya angalau kila ninapofanya mapenzi
Kuwa bored ndiyo sababu kubwa ya uhusiano wa mapenzi kuwa ovyo na hata hamu kwisha kabisa. Kujaribu kitu kipya pamoja na mikao tofauti wakati wa kufanya mapenzi husaidia kitanda kuwa cha moto kila mara.
Wapo wanandoa ambao wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 60 na bado wana enjoy mapenzi.
Je, kuna umuhimu wowote kwako kwa mke kufika kileleni?
(a) Huwa sijali afike au asifike, ni kama hainihusu
(b) Ni vizuri akifika kileleni
(c) Nahusika sana na napenda afike kileleni na pia namsaidia kwa kiasi kikubwa kuhakikisha anafika kileleni
Kufanya mapenzi kuzuri kunategemea sana jinsi ya kutoa na kupokea kati ya wahusika. Wanaume wengi wao ni rahisi sana kufika kileleni kuliko wanawake wakati wapo kitandani. Wanawake ni viumbe wa hisia hivyo huhitaji muda zaidi ili kuweza kufika kileleni. Ingawa wanawake wengi hawapowazi kuongelea hili, bado kufika kileleni ni kitendo kinachowapa kuridhika vizuri na tendo la ndoa.
Hivyo kama huwa unahakikisha anafika kileleni basi wewe ni mwanaume mzuri kitandani.
Je, ni mahali gani unamtumia kwa ajili ya tendo la ndoa?
(a) siku zote ni kitandani kwetu chumbani
(b) Chumbani sehemu yoyote, chini au kitandani
(c) Mahali popote ambapo tunaweza
Kama kunakitu kinatakiwa kuepukwa kwa nguvu zote basi ni ile kuwa na mazoea ya kuwa na sehemu au utaratibu mmoja wa kufanya mapenzi miaka Nenda rudi. Jaribu kuwa na sehemu tofauti za kufanya mapenzi, mnaweza kusafiri au kwenda camping au sehemu yoyote.
Hawezi kusahau kumbukumbu za hizo sehemu.
Je, unapokuwa kwenye tendo la ndoa huwa unasimamamisha kwa muda gani?
(a) Dakika mbili au pungufu
(b) Kama dakika 15 hivi
(c) Hadi saa nzima kama kuna umuhimu
Hakuna ubishi uume uliodinda husaidia kumsisimua mwanamke wakati wa kufanya mapenzi. Wakati mwingine mwanamke hukata tamaa kama akijisikia wewe husisimki na matokeo yake wote mnaambulia sifuri.
Ni ukweli pia uume uliosimama na kudinda vizuri huwezi kumpa mwanamke msisimko ambao huwezesha kumfikisha kileleni.
Je, ni muda kiasi gani huwa unatumia kumuandaa mpenzi wako
(a) Sina huo muda
(b) Dakika tano hivi
(c) Hadi nihakikishe yupo tayari au amesisimka vya kutosha kiasi cha yeye kutaka.
Kama wote tunavyojua maandalizi (foreplay) ni muhimu mno kwa ajili ya tendo la ndoa.
Bila maandalizi tendo la ndoa halina ladha yoyote zaidi ya kuumizana.
Kama huwa hufanyi maandalizi yoyote hapo ni dhahiri kwamba haitawezekana kwa mkeo kufika kileleni na hatafurahia inapofika muda wa kwenda kitandani.
Na kama unatoa muda wa kutosha kwa wajili ya foreplay basi atakuwa anasubiri kwa hamu kubwa kusikia muda wa kitandani umefika.
Pia ni vizuri kufahamu kwamba mwanaume mzuri ni yule ambaye hata baada ya kumaliza tendo la ndoa si mtu wa kukurupuka na kutoa uume wakati mke hajamruhusu kwani utamu wa tendo la ndoa kwa mwanamke ni wa muda mrefu zaidi hivyo ni vizuri kubaki ndani zaidi ya dakika 10.
Je, ni mara ngapi unafanya mapenzi kwa kushtukiza?
(a) Si rahisi na kawaida
(b) Mara moja kwa mwaka
(c) Mara kwa mara tunapotaka kufanya mapenzi
Kuna raha yake kwa mwanamke kufanya mapenzi kwa kushtukiza. Utaratibu wakati mwingine huwa una bore, ni kama mazoea. Sex ya kushtukiza wakati mwingine huleta kumbukumbu nzuri zaidi na kuwa enjoyable.
Wanawake huwafurahia wanaume ambao huwapa kile wanatarajia linapokuja suala la kitandani.
Ukiwa mbunifu na mwanaume mwenye utundu kitandani basi mkeo atakushukuru na kukupenda zaidi kwa sababu unampa raha kamili.
+